\v=13 \v~=Ilikuwa ni kwa sababu hii, ninyi Walawi, hamkulipandisha Sanduku la \nd Bwana\nd* mara ya kwanza, hata ikasababisha \nd Bwana\nd* Mungu wetu kuwaka hasira dhidi yetu. Hatukumuuliza jinsi ya kufanya ili tupate kulileta jinsi alivyoagiza.” \¬v