\v=2 \v~=Kisha Daudi akasema, “Hakuna mtu yeyote anayeruhusiwa kulibeba Sanduku la Mungu isipokuwa Walawi peke yao, kwa sababu \nd Bwana\nd* aliwachagua kulibeba Sanduku la \nd Bwana\nd* na kuhudumu mbele zake milele.” \¬v \¬p