\v=15 \v~=Mungu akapeleka malaika kuangamiza Yerusalemu. Lakini malaika alipokuwa akifanya hivyo, \nd Bwana\nd* akaona na akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa \nd Bwana\nd* alikuwa amesimama katika sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna\f + \fr 21:15 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.\f* Myebusi. \¬v \¬p