\v=19 \v~=Sasa itoeni mioyo yenu na nafsi zenu katika kumtafuta \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Anzeni kujenga Maskani ya \nd Bwana\nd* Mungu, ili mweze kulileta Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* na vyombo vitakatifu vya Mungu katika Hekalu litakalojengwa kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*.” \¬v \¬p \¬c