\p \v=11 \v~=“Amaria kuhani mkuu atakuwa juu yenu katika jambo lolote linalomhusu \nd Bwana\nd* naye Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa kabila la Yuda, atakuwa juu yenu kwa jambo lolote linalomhusu mfalme, nao Walawi watatumika kama maafisa mbele yenu. Tendeni kwa ujasiri, naye \nd Bwana\nd* atakuwa pamoja na wale watendao vyema.” \¬v \¬p \¬c