\p \v=16 \v~=Zaidi ya hao wakawagawia wanaume wenye umri wa miaka mitatu au zaidi ambao majina yao yalikuwa kwenye orodha ya vizazi, wale wote ambao wangeingia katika Hekalu la \nd Bwana\nd* ili kufanya kazi zao mbalimbali za kila siku kulingana na wajibu katika mgawanyo wao. \¬v