\v=8 \v~=Wakati huo \nd Bwana\nd* aliteua kabila la Lawi kulibeba Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*, kusimama mbele za \nd Bwana\nd* ili kutoa huduma, na kutangaza baraka kwa Jina lake, kama wanavyofanya mpaka leo. \¬v