\p \v=18 \v~=Usifikiri kuwa kuna ugumu kumwacha mtumishi wako huru, kwa sababu utumishi wake kwako kwa miaka hii sita umekuwa wa thamani mara mbili ya ujira wa mtumishi wa kuajiriwa. Naye \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakubarikia kwa kila kitu utakachofanya. \¬v \¬p