\v=18 \v~=Kamwe usilete mapato ya ukahaba ikiwa ni ya mwanamke au ni ya mwanaume katika nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yoyote, kwa sababu \nd Bwana\nd* Mungu wako anachukizwa na yote mawili. \¬v \¬p