\v=29 \v~=Kwa kuwa ninajua baada ya kifo changu hakika mtakuwa waovu kabisa na kugeuka kutoka njia niliyowaamuru ninyi. Katika siku zijazo, maafa yatawapata kwa sababu mtafanya maovu mbele ya macho ya \nd Bwana\nd*, na kuchochea hasira yake kwa yale mikono yenu itakayokuwa imefanya.” \¬v \¬p