\v=10 \v~=\nd Bwana\nd* alinipa mbao mbili za mawe zilizoandikwa kwa kidole cha Mungu. Juu ya mbao hizo kulikuwepo amri zote ambazo \nd Bwana\nd* aliwatangazia kule mlimani kwa njia ya moto, siku ya kusanyiko. \¬v \¬p