\p \v=3 \v~=Kwa hiyo Mose na Aroni wakaenda kwa Farao na kumwambia, “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Waebrania, asemalo: ‘Utaendelea hata lini kukataa kunyenyekea mbele yangu? Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu. \¬v