\v=42 \v~=Kwa sababu \nd Bwana\nd* aliutenga usiku ule ili kuwatoa Waisraeli katika nchi ya Misri, katika usiku huu Waisraeli wote wanapaswa kuadhimisha kwa kukesha ili kumheshimu \nd Bwana\nd* katika vizazi vijavyo. \¬v \¬p