\v=15 \v~=Farao alipokataa kwa ukaidi kuturuhusu kuondoka, \nd Bwana\nd* aliua kila mzaliwa wa kwanza wa Wamisri, mwanadamu na wa mnyama. Hii ndiyo sababu ninatoa dhabihu kwa \nd Bwana\nd* mzaliwa wa kwanza wa kiume, wa kila tumbo na kumkomboa kila mzaliwa wa kwanza wa wana wangu.’ \¬v