\v=7 \v~=Naye akapaita mahali pale Masa,\f + \fr 17:7 \ft Masa maana yake ni Kujaribu.\f* na Meriba\f + \fr 17:7 \ft Meriba maana yake ni Kugombana.\f* kwa sababu Waisraeli waligombana na kumjaribu \nd Bwana\nd* wakisema, “Je, \nd Bwana\nd* yu pamoja nasi au la?” \¬v \¬p