\v=16 \v~=Utapokea fedha ya upatanisho kutoka kwa Waisraeli na uzitumie kwa ajili ya huduma ya Hema la Kukutania. Itakuwa ni ukumbusho kwa Waisraeli mbele za \nd Bwana\nd* kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu.” \¬v \¬p