\nb \c#=36 \v=1 \v~=Kwa hiyo Bezaleli, Oholiabu na kila mtu \nd Bwana\nd* aliyempa ustadi na uwezo wa kujua jinsi ya kufanya kazi zote za kujenga mahali patakatifu wataifanya hiyo kazi kama vile \nd Bwana\nd* alivyoagiza.” \¬v \¬p