\p \v=29 \v~=Mose akajibu, “Mara tu nitakapoondoka, nitamwomba \nd Bwana\nd* na kesho mainzi yataondoka kwa Farao, kwa maafisa wake na kwa watu wake. Hakikisha tu kwamba Farao hatatenda kwa udanganyifu tena kwa kutokuwaachia watu waende kumtolea \nd Bwana\nd* dhabihu.” \¬v \¬p