\v=15 \v~=“Mwanadamu, ndugu zako, ndugu zako ambao ni wa uhusiano wa damu na nyumba yote ya Israeli, ndio wale ambao watu wa Yerusalemu wamesema, ‘Wako mbali na \nd Bwana\nd*; nchi hii tulipewa sisi kuwa milki yetu.’ \¬v \¬p