\v=36 \v~=Ndipo mataifa yanayowazunguka yaliyobakia watakapojua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* nimejenga tena kile kilichoharibiwa na nimepanda tena kile kilichokuwa ukiwa. Mimi \nd Bwana\nd* nimenena, nami nitalifanya.’ \¬v \¬p