\p \v=14 \v~=“Kwa hiyo, mwanadamu, tabiri na umwambie Gogu: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika siku ile, watu wangu Israeli watakapokuwa wanaishi salama, Je, wewe mwenyewe hutalijua hilo? \¬v