\p \v=12 \v~=Akaniambia, “Mwanadamu, umeona wanayoyafanya wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mmoja kwenye sehemu yake mwenyewe ya kufanyia ibada za sanamu yake? Wao husema, ‘\nd Bwana\nd* hatuoni, \nd Bwana\nd* ameiacha nchi.’ ” \¬v