\v=6 \v~=Huyu Ezra alipanda kutoka Babeli. Alikuwa mwalimu mwenye ujuzi mzuri katika sheria ya Mose, ambayo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, alikuwa ametoa. Mfalme alikuwa amempa Ezra kila kitu alichoomba, kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wake alikuwa pamoja naye. \¬v