\v=32 \v~=Lea akapata mimba akazaa mwana. Akamwita Reubeni,\f + \fr 29:32 \ft Reubeni maana yake Ona mwana, yaani Yehova ameangalia taabu yangu.\f* kwa maana alisema, “Ni kwa sababu \nd Bwana\nd* ameona huzuni yangu. Hakika mume wangu sasa atanipenda.” \¬v \¬p