\v=5 \v~=Kuanzia wakati huo Potifa alipomweka Yosefu kuwa msimamizi wa nyumba na mali zake zote alizokuwa nazo, \nd Bwana\nd* aliibariki nyumba ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu. Baraka ya \nd Bwana\nd* ilikuwa juu ya kila kitu alichokuwa nacho Potifa, nyumbani na shambani. \¬v