\v=14 \v~=Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akachochea roho ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, mtawala wa Yuda, na roho ya kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehosadaki, pamoja na roho za mabaki yote ya watu. Walikuja wakaanza kufanya kazi katika nyumba ya \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wao, \¬v