\p \v=14 \v~=\nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote amelifunua hili nikiwa ninasikia: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, asema: “Mpaka siku ya kufa kwenu, dhambi hii haitafanyiwa upatanisho.” \¬v \¬p