\v=19 \v~=\nd Bwana\nd* akafunua shimo huko Lehi, pakatoka maji. Samsoni alipoyanywa, nguvu zikamrudia na kuhuika. Hivyo chemchemi ile ikaitwa En-Hakore,\f + \fr 15:19 \ft En-Hakore maana yake ni Chemchemi ya Aliyeita.\f* nayo iko mpaka leo huko Lehi. \¬v \¬p