\v=18 \v~=Kila mara \nd Bwana\nd* alipowainulia mwamuzi, \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja na huyo mwamuzi, naye aliwaokoa kutoka mikononi mwa adui zao kwa kipindi chote alichoishi yule mwamuzi. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* aliwahurumia kwa sababu ya kilio chao cha huzuni kwa ajili ya wale waliokuwa wakiwatesa na kuwataabisha. \¬v