\v=7 \v~=Watu wakamtumikia \nd Bwana\nd* siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, waliokuwa wameona mambo makuu ambayo \nd Bwana\nd* alikuwa ametenda kwa ajili ya Israeli. \¬v \¬p