\p \v=24 \v~=Hivyo Gideoni akamjengea \nd Bwana\nd* madhabahu mahali pale na kupaita, Yehova-Shalom.\f + \fr 6:24 \ft Yehova-Shalom maana yake Bwana ni Amani.\f* Mpaka leo ingalipo imesimama huko Ofra ya Waabiezeri. \¬v \¬p