\v=9 \v~=Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, aliye Mungu wa Israeli: ‘Mbele ya macho yako na katika siku zako, nitakomesha sauti zote za shangwe na za furaha, na pia sauti za bibi arusi na bwana arusi mahali hapa.’ \¬v \¬p