\v=36 \v~=Lakini kamwe msiseme tena, ‘Nina mzigo wa \nd Bwana\nd*,’ kwa sababu kila neno la mtu binafsi linakuwa mzigo wake mwenyewe, na hivyo kupotosha maneno ya Mungu aliye hai, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wetu. \¬v