\v=15 \v~=Hata hivyo, jueni kwa hakika, ikiwa mtaniua, mtakuwa mmejipatia dhambi kwa damu isiyo na hatia juu yenu wenyewe, na juu ya mji huu na wote wanaoishi ndani yake, kwa maana ni kweli \nd Bwana\nd* amenituma kwenu ili niseme maneno haya yote masikioni mwenu.” \¬v \¬p