\v=21 \v~=Naam, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo kuhusu vitu ambavyo vimebaki ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*, na ndani ya jumba la kifalme la mfalme wa Yuda, na katika Yerusalemu: \¬v