\p \v=8 \v~=“ ‘ “Lakini kama kukiwa na taifa lolote au ufalme ambao hautamtumikia Nebukadneza mfalme wa Babeli, ama kuinamisha shingo yake chini ya nira yake, nitaliadhibu taifa hilo kwa upanga, njaa na tauni, asema \nd Bwana\nd*, mpaka nitakapoliangamiza taifa hilo kwa mkono wake. \¬v