\v=6 \v~=Akasema, “Amen! \nd Bwana\nd* na afanye hivyo! \nd Bwana\nd* na ayatimize maneno uliyotoa unabii kwa kuvirudisha mahali hapa kutoka Babeli vyombo vya nyumba ya \nd Bwana\nd* pamoja na wote waliohamishwa. \¬v