\v=2 \v~=Yeremia nabii na kumwambia, “Tafadhali sikia maombi yetu na umwombe \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa ajili ya watu hawa wote waliosalia. Kwa kuwa kama unavyoona sasa, ingawa wakati fulani tulikuwa wengi, sasa tumesalia wachache tu. \¬v