\v=20 \v~=kwamba mmefanya kosa kubwa mioyoni mwenu mliponituma kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kusema, ‘Mwombe \nd Bwana\nd* Mungu wetu kwa ajili yetu, nawe utuambie kila kitu atakachosema, nasi tutafanya.’ \¬v