\v=2 \v~=Azaria mwana wa Hoshaya, na Yohanani mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakamwambia Yeremia, “Wewe unasema uongo! \nd Bwana\nd* Mungu wetu hajakutuma kusema, ‘Kamwe msiende Misri kukaa huko.’ \¬v