\p \v=25 \v~=\nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asema: “Nakaribia kuleta adhabu juu ya Amoni mungu wa Thebesi,\f + \fr 46:25 \ft Thebesi kwa Kiebrania ni No (au No-Amoni), mji katika Misri.\f* na juu ya Farao, Misri na miungu yake, na wafalme wake, pamoja na wale wanaomtegemea Farao. \¬v