\v=15 \v~=Kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose mtumishi wake, vivyo hivyo Mose alimwagiza Yoshua, naye Yoshua akafanya kama vivyo, hakukosa kufanya lolote katika yale yote \nd Bwana\nd* aliyomwagiza Mose. \¬v \¬p