\v=12 \v~=Basi nipe nchi hii ya vilima, ambayo \nd Bwana\nd* aliniahidi siku ile. Wewe mwenyewe ulisikia wakati ule kwamba Waanaki walikuwako huko na miji yao ilikuwa mikubwa na yenye maboma, lakini, kwa msaada wa \nd Bwana\nd*, nitawafukuza watoke huko kama vile alivyonena.” \¬v \¬p