\v=9 \v~=Hivyo katika siku ile, Mose akaniapia, ‘Nchi ambayo umeikanyaga kwa miguu yako itakuwa urithi wako na wa watoto wako milele, kwa sababu umemfuata \nd Bwana\nd* Mungu wangu kwa moyo wote.’ \¬v \¬p