\v=5 \v~=Lakini mwe waangalifu sana kushika amri na sheria zile Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* alizowapa: yaani kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuenenda katika njia zake zote, kutii amri zake, kushikamana naye kwa uthabiti na kumtumikia kwa moyo wenu wote na roho yenu yote.” \¬v \¬p