\p \v=14 \v~=Wale watu wakamhakikishia Rahabu, “Uhai wetu kwa uhai wenu! Ikiwa hutatoa habari ya nini tunachofanya, wakati \nd Bwana\nd* atakapotupa nchi hii, tutawatendea kwa hisani na kwa uaminifu.” \¬v \¬p