\v=13 \v~=Wale Makuhani saba wakizibeba zile baragumu saba wakatangulia mbele ya Sanduku la \nd Bwana\nd* wakizipiga. Watu wenye silaha wakatangulia mbele yao na walinzi wa nyuma wakalifuata Sanduku la \nd Bwana\nd*, huku baragumu hizo zikiendelea kulia. \¬v