\p \v=8 \v~=Baada ya Yoshua kuzungumza na watu, wale makuhani saba wenye kuzibeba zile baragumu saba mbele za \nd Bwana\nd*, wakatangulia mbele, wakipiga baragumu zao na Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* likawafuata. \¬v