\v=9 \v~=Ahimidiwe \nd Bwana\nd* Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe na kukuweka juu ya kiti cha ufalme cha Israeli. Kwa sababu ya upendo wake \nd Bwana\nd* wa milele ajili ya Israeli, amekufanya mfalme, ili kudumisha haki na uadilifu.” \¬v \¬p