\v=15 \v~=Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa jambo hili lilitoka kwa \nd Bwana\nd*, ili kutimiza neno ambalo \nd Bwana\nd* alikuwa amenena kwa Yeroboamu mwana wa Nebati kupitia Ahiya Mshiloni. \¬v \¬p